Zaburi 37:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Acha hasira na uache ghadhabu;+Usikasirike na kuanza kutenda uovu.* Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu la upole* hutuliza hasira,+Lakini neno kali* huchochea hasira.+ Mhubiri 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usikasirike haraka,*+ kwa maana hasira hukaa katika kifua cha wajinga.*+