Methali 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mtu asiyekasirika upesi+ ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,Na mtu anayedhibiti hasira yake* ni bora kuliko mtu anayelishinda jiji.+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+
32 Mtu asiyekasirika upesi+ ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,Na mtu anayedhibiti hasira yake* ni bora kuliko mtu anayelishinda jiji.+
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+