Methali 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu asiyekasirika upesi ana utambuzi mwingi,+Lakini asiye na subira hudhihirisha upumbavu.+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+