Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+ Methali 17:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu mwenye ujuzi huyazuia maneno yake,+Na mtu mwenye utambuzi atabaki mtulivu.*+
19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+