Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+
19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+