Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ulimi mtulivu* ni mti wa uzima,+

      Lakini maneno yaliyopotoka hukatisha tamaa.*

  • Mhubiri 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ni afadhali kusikiliza maneno matulivu ya wenye hekima kuliko kelele za yule anayetawala miongoni mwa wajinga.

  • Yakobo 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ni nani mwenye hekima na uelewaji kati yenu? Na aonyeshe kwa mwenendo wake mzuri matendo yanayofanywa kwa upole unaotokana na hekima.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki