Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Maneno yanayosemwa bila kufikiri huchoma kama upanga,Lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Maneno yanayopendeza ni sega la asali,Ni matamu kwa nafsi* nayo huponya mifupa.+ Methali 17:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu mwenye ujuzi huyazuia maneno yake,+Na mtu mwenye utambuzi atabaki mtulivu.*+