Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Maneno yanayosemwa bila kufikiri huchoma kama upanga,

      Lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+

  • Methali 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Maneno yanayopendeza ni sega la asali,

      Ni matamu kwa nafsi* nayo huponya mifupa.+

  • Methali 17:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mtu mwenye ujuzi huyazuia maneno yake,+

      Na mtu mwenye utambuzi atabaki mtulivu.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki