Methali 25:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama jiji lililobomolewa, lisilo na ukuta,Ndivyo alivyo mtu asiyeweza kuidhibiti hasira yake.*+ Methali 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu mpumbavu humwaga hisia zake zote,*+Lakini mwenye hekima huzizuia kwa utulivu.+ Mhubiri 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usikasirike haraka,*+ kwa maana hasira hukaa katika kifua cha wajinga.*+