Methali 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mjinga huonyesha papo hapo* kwamba ameudhika,+Lakini mtu mwerevu hupuuza* matusi. Methali 25:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama jiji lililobomolewa, lisilo na ukuta,Ndivyo alivyo mtu asiyeweza kuidhibiti hasira yake.*+