Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki ili amuue,+ basi Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+

  • Methali 16:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mtu asiyekasirika upesi+ ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,

      Na mtu anayedhibiti hasira yake* ni bora kuliko mtu anayelishinda jiji.+

  • Methali 22:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Usiwe na urafiki na mtu mwenye hasira kali

      Wala kushirikiana na mtu anayekasirika upesi,

      25 Ili usijifunze kamwe njia zake

      Na kujitia mtegoni.+

  • Methali 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtu mpumbavu humwaga hisia zake zote,*+

      Lakini mwenye hekima huzizuia kwa utulivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki