1 Samweli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki ili amuue,+ basi Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+ Methali 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mtu asiyekasirika upesi+ ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,Na mtu anayedhibiti hasira yake* ni bora kuliko mtu anayelishinda jiji.+ Methali 22:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Usiwe na urafiki na mtu mwenye hasira kaliWala kushirikiana na mtu anayekasirika upesi,25 Ili usijifunze kamwe njia zakeNa kujitia mtegoni.+ Methali 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu mpumbavu humwaga hisia zake zote,*+Lakini mwenye hekima huzizuia kwa utulivu.+
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki ili amuue,+ basi Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+
32 Mtu asiyekasirika upesi+ ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,Na mtu anayedhibiti hasira yake* ni bora kuliko mtu anayelishinda jiji.+
24 Usiwe na urafiki na mtu mwenye hasira kaliWala kushirikiana na mtu anayekasirika upesi,25 Ili usijifunze kamwe njia zakeNa kujitia mtegoni.+