Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 lakini hakupendezwa hata kidogo na Kaini na dhabihu yake. Basi Kaini akawaka hasira kali na kusononeka.*

  • Esta 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Siku hiyo Hamani aliondoka akiwa na shangwe na uchangamfu moyoni. Lakini Hamani alipomwona Mordekai katika lango la mfalme na kutambua kwamba hakusimama wala kutetemeka alipomwona, Hamani alimkasirikia sana Mordekai.+

  • Methali 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yule anayekasirika upesi hutenda kipumbavu,+

      Lakini mtu anayechanganua mambo* huchukiwa.

  • Methali 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu asiyekasirika upesi ana utambuzi mwingi,+

      Lakini asiye na subira hudhihirisha upumbavu.+

  • Methali 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtu mpumbavu humwaga hisia zake zote,*+

      Lakini mwenye hekima huzizuia kwa utulivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki