Methali 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mjinga huonyesha papo hapo* kwamba ameudhika,+Lakini mtu mwerevu hupuuza* matusi. Methali 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mtu asiyekasirika upesi+ ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,Na mtu anayedhibiti hasira yake* ni bora kuliko mtu anayelishinda jiji.+
32 Mtu asiyekasirika upesi+ ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,Na mtu anayedhibiti hasira yake* ni bora kuliko mtu anayelishinda jiji.+