Methali 17:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu mwenye ujuzi huyazuia maneno yake,+Na mtu mwenye utambuzi atabaki mtulivu.*+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+