2 Lakini akawaambia, “Mimi nimefanya nini nikilinganishwa nanyi? Je, masalio ya Efraimu+ si bora kuliko mavuno ya zabibu ya Abiezeri?+ 3 Mungu aliwatia mikononi mwenu Orebu na Zeebu,+ wakuu wa Midiani, lakini mimi nimefanya nini nikilinganishwa nanyi?” Gideoni aliposema hivyo hasira yao ikapoa.