10 Namchukua pia Ruthu Mmoabu, mke wa Maloni, awe mke wangu ili kurudisha jina la mwanamume huyo aliyekufa katika urithi wake,+ ili jina la mwanamume huyo aliyekufa lisifutiliwe mbali kutoka kati ya ndugu zake na kutoka katika lango la jiji lake. Ninyi ni mashahidi leo.”+
47 Sauli akauimarisha ufalme wake juu ya Waisraeli, akapigana na maadui wake wote waliomzunguka, alipigana na Wamoabu,+ Waamoni,+ Waedomu,+ wafalme wa Soba,+ na Wafilisti;+ na mahali popote alipoenda aliwashinda.