1 Samweli 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Daudi alikuwa mwana wa Yese,+ Mwefrathi+ kutoka mji wa Bethlehemu+ wa Yuda, ambaye alikuwa na wana wanane+ na ambaye katika siku za Sauli alikuwa tayari amezeeka. Isaya 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda. Waroma 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na tena Isaya anasema: “Kutakuwa na mzizi wa Yese,+ yule anayesimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+
12 Basi Daudi alikuwa mwana wa Yese,+ Mwefrathi+ kutoka mji wa Bethlehemu+ wa Yuda, ambaye alikuwa na wana wanane+ na ambaye katika siku za Sauli alikuwa tayari amezeeka.
11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda.
12 Na tena Isaya anasema: “Kutakuwa na mzizi wa Yese,+ yule anayesimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+