1 Samweli 14:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Basi Sauli akasema: “Mungu na akuadhibu, tena vikali, ikiwa hutakufa, Yonathani.”+ 1 Samweli 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Maadamu mwana wa Yese anaishi duniani, wewe wala ufalme wako hautadumu.+ Basi sasa mtume mtu fulani amlete kwangu, kwa maana lazima afe.”*+
31 Maadamu mwana wa Yese anaishi duniani, wewe wala ufalme wako hautadumu.+ Basi sasa mtume mtu fulani amlete kwangu, kwa maana lazima afe.”*+