8 Ndipo Abishai akamwambia Daudi: “Leo Mungu amemtia adui yako mikononi mwako.+ Na sasa tafadhali, acha nimpigilie ardhini kwa mkuki mara moja tu, wala sitafanya hivyo mara mbili.”
23 Yehova ndiye atakayemlipa kila mtu kulingana na uadilifu wake mwenyewe+ na uaminifu wake mwenyewe, kwa kuwa leo Yehova alikutia mikononi mwangu, lakini sikutaka kuinua mkono wangu dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova.+