Zaburi 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova atayahukumu mataifa.+ Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wanguNa kulingana na utimilifu wangu.+ Zaburi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova hunithawabisha kulingana na uadilifu wangu;+Hunilipa kulingana na usafi* wa mikono yangu.+
8 Yehova atayahukumu mataifa.+ Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wanguNa kulingana na utimilifu wangu.+