Zaburi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova hunithawabisha kulingana na uadilifu wangu;+Hunilipa kulingana na usafi* wa mikono yangu.+ Zaburi 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini mimi, nitatembea katika utimilifu wangu. Niokoe* na kunionyesha kibali. Zaburi 41:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini mimi, unanitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu;+Utaniweka mbele zako* milele.+