Mwanzo 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+ Zaburi 9:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini Yehova ameketi kwenye kiti cha ufalme milele;+Amekiimarisha kabisa kiti chake cha ufalme kwa ajili ya haki.+ 8 Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa;+Atayahukumu mataifa kwa kutoa maamuzi ya uadilifu.+
25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+
7 Lakini Yehova ameketi kwenye kiti cha ufalme milele;+Amekiimarisha kabisa kiti chake cha ufalme kwa ajili ya haki.+ 8 Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa;+Atayahukumu mataifa kwa kutoa maamuzi ya uadilifu.+