Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo,+Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,Na kinachowasubiri kitafika haraka.’ 1 Samweli 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova na awe mwamuzi, atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kunitetea na kuamua kesi yangu+ na kuniokoa kutoka mikononi mwako.”
35 Kisasi ni changu, na malipo,+Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,Na kinachowasubiri kitafika haraka.’
15 Yehova na awe mwamuzi, atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kunitetea na kuamua kesi yangu+ na kuniokoa kutoka mikononi mwako.”