9 Hata hivyo, Sauli na watu wake walimwacha hai* Agagi na kondoo walio bora, ng’ombe, wanyama waliononeshwa, kondoo dume, na vitu vyote vizuri.+ Hawakutaka kuviangamiza. Lakini waliangamiza vitu vyote visivyo na thamani na visivyofaa.
13 Kwa hiyo Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa Yehova kwa maana hakutii neno la Yehova,+ na pia kwa sababu alitafuta ushauri kutoka kwa mtu aliyewasiliana na roho+