Mambo ya Walawi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Kwa hakika nitamkataa na kumwangamiza mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho+ na pia wabashiri+ ili kufanya ukahaba wa kiroho pamoja nao.+ 1 Samweli 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hatimaye Sauli akawaambia watumishi wake: “Nitafutieni mwanamke anayewasiliana na roho,+ nitaenda kwake kumwomba ushauri.” Watumishi wake wakamwambia: “Tazama! Kuna mwanamke anayewasiliana na roho kule En-dori.”+
6 “‘Kwa hakika nitamkataa na kumwangamiza mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho+ na pia wabashiri+ ili kufanya ukahaba wa kiroho pamoja nao.+
7 Hatimaye Sauli akawaambia watumishi wake: “Nitafutieni mwanamke anayewasiliana na roho,+ nitaenda kwake kumwomba ushauri.” Watumishi wake wakamwambia: “Tazama! Kuna mwanamke anayewasiliana na roho kule En-dori.”+