6 “‘Kwa hakika nitamkataa na kumwangamiza mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho+ na pia wabashiri+ ili kufanya ukahaba wa kiroho pamoja nao.+
23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,*+ na kutenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na ibada ya sanamu.* Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ yeye pia amekukataa usiwe mfalme.”+
3 Wakati huo Samweli alikuwa amekufa, na Waisraeli wote walikuwa wamemwombolezea na kumzika katika jiji lake mwenyewe la Rama.+ Naye Sauli alikuwa amewaondoa nchini watu wanaowasiliana na roho na pia wabashiri.+