1 Samweli 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Siku hizo Wafilisti walikusanya majeshi yao kwenda kupigana vita na Waisraeli.+ Basi Akishi akamwambia Daudi: “Bila shaka unajua kwamba wewe na wanaume wako mtaenda pamoja nami vitani.”+ 1 Samweli 31:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sasa Wafilisti walikuwa wakipigana na Waisraeli.+ Na wanaume wa Israeli wakawakimbia Wafilisti, na wengi wakauawa kwenye Mlima Gilboa.+
28 Siku hizo Wafilisti walikusanya majeshi yao kwenda kupigana vita na Waisraeli.+ Basi Akishi akamwambia Daudi: “Bila shaka unajua kwamba wewe na wanaume wako mtaenda pamoja nami vitani.”+
31 Sasa Wafilisti walikuwa wakipigana na Waisraeli.+ Na wanaume wa Israeli wakawakimbia Wafilisti, na wengi wakauawa kwenye Mlima Gilboa.+