Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 36:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Timna akawa suria wa Elifazi, mwana wa Esau. Baada ya muda akamzalia Elifazi mtoto aliyeitwa Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, mke wa Esau.

  • Kutoka 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika jambo hili katika kitabu liwe ukumbusho,* na uliseme tena kwa Yoshua: ‘Nitawaangamiza kabisa Waamaleki kutoka chini ya mbingu, nao hawatakumbukwa tena.’”+

  • 1 Samweli 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Nitawaadhibu Waamaleki kwa sababu waliwapinga Waisraeli walipokuwa njiani wakipanda kutoka Misri.+

  • 1 Samweli 27:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Daudi alikuwa akipanda pamoja na wanaume wake kuwavamia Wageshuri,+ Wagirzi, na Waamaleki,+ kwa maana walikuwa wakikaa katika nchi iliyoanzia Telamu mpaka Shuri+ na kushuka mpaka nchi ya Misri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki