Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha Waamaleki+ wakaja na kupigana na Waisraeli huko Refidimu.+

  • Hesabu 13:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Waamaleki+ wanaishi katika nchi ya Negebu,+ nao Wahiti, Wayebusi,+ na Waamori+ wanaishi katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanaishi karibu na bahari+ na kwenye kingo za Yordani.”

  • Hesabu 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Alipowaona Waamaleki, aliendelea kusema maneno yake ya kishairi:

      “Amaleki lilikuwa taifa la kwanza,+

      Lakini mwishowe litaangamia.”+

  • Kumbukumbu la Torati 25:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yehova Mungu wenu atakapokuwa amewapumzisha kutokana na maadui wenu wote wanaowazunguka katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa kuwa urithi ili mwimiliki,+ mnapaswa kuwaangamiza kabisa Waamaleki ili wasikumbukwe tena chini ya mbingu.+ Msisahau jambo hilo.

  • 1 Samweli 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Akamkamata Agagi+ mfalme wa Amaleki akiwa hai, lakini watu wengine wote akawaangamiza kwa upanga.+

  • 1 Samweli 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Daudi na wanaume wake walipofika Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ walikuwa wamevamia upande wa kusini* na pia Siklagi, nao walikuwa wameshambulia Siklagi na kuliteketeza kwa moto.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki