1 Samweli 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Daudi akapata vitu vyote ambavyo Waamaleki walikuwa wamechukua,+ naye akawaokoa wake zake wawili. Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana matatizo mengi,*+Lakini Yehova humwokoa kutoka katika matatizo hayo yote.+