10 Daudi akaendelea kusema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, Yehova mwenyewe atampiga,+ au siku yake itafika+ naye atakufa, au ataenda vitani na kuuawa.+
13 Kwa hiyo Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa Yehova kwa maana hakutii neno la Yehova,+ na pia kwa sababu alitafuta ushauri kutoka kwa mtu aliyewasiliana na roho+