13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta+ na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumtia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akainuka na kwenda zake Rama.+
22 Baada ya kumwondoa, akamwinua Daudi awe mfalme wao,+ na akatoa ushahidi kumhusu akisema: ‘Nimempata Daudi mwana wa Yese,+ mtu anayeupendeza moyo wangu;+ atafanya mambo yote ninayotamani.’