Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Habari ifuatayo inawahusu watu ambao Mfalme Sulemani aliwaandikisha kufanya kazi ya kulazimishwa+ ili wajenge nyumba ya Yehova,+ nyumba yake mwenyewe,* Kilima,*+ ukuta wa Yerusalemu, Hasori,+ Megido,+ na Gezeri.+

  • 1 Wafalme 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Lakini binti ya Farao+ akatoka katika Jiji la Daudi+ akaenda kuishi katika nyumba yake ambayo Sulemani alimjengea; kisha Sulemani akajenga Kilima.*+

  • 1 Wafalme 11:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Hii ndiyo sababu iliyomfanya amwasi mfalme: Sulemani alikuwa amejenga Kilima*+ na kuziba mwanya katika ukuta wa Jiji la Daudi baba yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Zaidi ya hayo, akiwa ameazimia, alijenga upya ukuta wote uliobomolewa, akajenga minara juu yake, na kujenga ukuta mwingine upande wa nje. Alirekebisha pia Kilima*+ cha Jiji la Daudi na kutengeneza silaha nyingi na ngao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki