Zaburi 150:3-5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msifuni kwa kupiga pembe.+ Msifuni kwa kinanda na kinubi.+ 4 Msifuni kwa tari+ na kwa dansi ya mzunguko. Msifuni kwa nyuzi+ na filimbi.*+ 5 Msifuni kwa matoazi yanayolia. Msifuni kwa matoazi yanayogonganishwa.+
3 Msifuni kwa kupiga pembe.+ Msifuni kwa kinanda na kinubi.+ 4 Msifuni kwa tari+ na kwa dansi ya mzunguko. Msifuni kwa nyuzi+ na filimbi.*+ 5 Msifuni kwa matoazi yanayolia. Msifuni kwa matoazi yanayogonganishwa.+