5 Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wakisherehekea mbele za Yehova kwa ala za kila aina zilizotengenezwa kwa mbao za mberoshi, vinubi, vinanda vinginevyo,+ matari,+ matasa, na matoazi.+
5 Asafu+ alikuwa kiongozi, na wa pili Zekaria; naye Yeieli, Shemiramothi, Yehieli, Matithia, Eliabu, Benaya, Obed-edomu, na Yeieli+ walipiga vinanda na vinubi;+ na Asafu alipiga matoazi,+