-
1 Mambo ya Nyakati 15:27, 28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Daudi alikuwa amevaa joho lisilo na mikono la kitambaa bora, kama walivyovaa Walawi wote waliobeba Sanduku hilo, waimbaji, na Kenania mkuu wa usafirishaji na wa waimbaji; Daudi pia alikuwa amevaa efodi ya kitani.+ 28 Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa kelele za shangwe,+ wakipiga pembe, tarumbeta,+ matoazi, na kupiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+
-