Waamuzi 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+ Zaburi 89:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nimempata Daudi mtumishi wangu;+Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta.+ Zaburi 89:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hakuna adui atakayemtoza ushuru,Na hakuna mwovu atakayemkandamiza.+
14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+