Kumbukumbu la Torati 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana ni taifa gani kubwa ambalo miungu yake iko karibu nalo kama Yehova Mungu wetu alivyo karibu nasi wakati wowote tunapomlilia?+ Zaburi 147:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anamtangazia Yakobo neno lake,Na Israeli masharti yake na hukumu zake.+ 20 Hajalifanyia hivyo taifa lingine lolote;+Hawajui lolote kuhusu hukumu zake. Msifuni Yah!*+
7 Kwa maana ni taifa gani kubwa ambalo miungu yake iko karibu nalo kama Yehova Mungu wetu alivyo karibu nasi wakati wowote tunapomlilia?+
19 Anamtangazia Yakobo neno lake,Na Israeli masharti yake na hukumu zake.+ 20 Hajalifanyia hivyo taifa lingine lolote;+Hawajui lolote kuhusu hukumu zake. Msifuni Yah!*+