7 Isitoshe, Daudi alichukua ngao za mviringo za dhahabu kutoka kwa watumishi wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu. 8 Daudi alichukua shaba nyingi sana kutoka Tibhathi na Kuni, majiji ya Hadadezeri. Sulemani aliitumia kutengenezea Bahari ya Shaba,+ nguzo, na vyombo vya shaba.+