Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini fedha yote na dhahabu na vitu vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Yehova.+ Vinapaswa kupelekwa katika hazina ya Yehova.”+

  • 1 Wafalme 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akakamilisha kazi yote aliyopaswa kufanya kwa ajili ya nyumba ya Yehova. Kisha Sulemani akaingiza ndani vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa amevifanya kuwa vitakatifu,+ naye akaweka fedha, dhahabu, na vitu hivyo katika hazina za nyumba ya Yehova.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama, nimejitahidi kabisa kufanya matayarisho kwa ajili ya nyumba ya Yehova, nimeweka talanta 100,000* za dhahabu na talanta 1,000,000 za fedha na shaba nyingi sana+ na chuma hivi kwamba haviwezi kupimwa, nami nimetayarisha mbao na mawe,+ lakini utaongeza vitu hivyo.

  • 1 Mambo ya Nyakati 26:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Baadhi ya vitu walivyopata vitani+ na baadhi ya nyara+ walizifanya kuwa takatifu ili kuidumisha nyumba ya Yehova;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki