2 Samweli 20:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Adoramu+ alikuwa msimamizi wa wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu. 1 Wafalme 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Elihorefu na Ahiya wana wa Shisha walikuwa waandishi;+ Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu;
24 Adoramu+ alikuwa msimamizi wa wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu.
3 Elihorefu na Ahiya wana wa Shisha walikuwa waandishi;+ Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu;