2 Samweli 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha Daudi akauliza: “Je, kuna yeyote aliyebaki katika nyumba ya Sauli ninayeweza kumtendea kwa upendo mshikamanifu kwa ajili ya Yonathani?”+ 2 Samweli 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo mfalme akamwambia Siba: “Tazama! Mali yote ya Mefiboshethi ni yako.”+ Siba akasema: “Nainama mbele yako. Acha nipate kibali machoni pako, bwana wangu mfalme.”+ 2 Samweli 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hata hivyo, mfalme akamwambia: “Kwa nini unaendelea kusema hivyo? Nimeamua kwamba wewe na Siba mgawane lile shamba.”+
9 Kisha Daudi akauliza: “Je, kuna yeyote aliyebaki katika nyumba ya Sauli ninayeweza kumtendea kwa upendo mshikamanifu kwa ajili ya Yonathani?”+
4 Ndipo mfalme akamwambia Siba: “Tazama! Mali yote ya Mefiboshethi ni yako.”+ Siba akasema: “Nainama mbele yako. Acha nipate kibali machoni pako, bwana wangu mfalme.”+
29 Hata hivyo, mfalme akamwambia: “Kwa nini unaendelea kusema hivyo? Nimeamua kwamba wewe na Siba mgawane lile shamba.”+