Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada tu ya Daudi kumaliza kuzungumza na Sauli, Yonathani+ na Daudi wakashikamana na kuwa marafiki wa karibu sana,* na Yonathani akaanza kumpenda kama alivyojipenda mwenyewe.*+

  • 1 Samweli 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yonathani na Daudi wakafanya agano,+ kwa sababu alimpenda kama alivyojipenda mwenyewe.*+

  • 1 Samweli 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Usiache kamwe kuitendea nyumba yangu kwa upendo mshikamanifu,+ hata Yehova atakapowafagilia mbali maadui wote wa Daudi duniani pote.”

  • 1 Samweli 20:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Yonathani akamwambia Daudi: “Nenda kwa amani, kwa maana sote wawili tumeapa+ kwa jina la Yehova tukisema, ‘Yehova na awe kati yangu na wewe na kati ya uzao wangu* na uzao wako* milele.’”+

      Kisha Daudi akainuka na kuondoka, naye Yonathani akarudi jijini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki