Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nitendee mimi mtumishi wako kwa upendo mshikamanifu,+ kwa kuwa umeniingiza mimi mtumishi wako katika agano ulilofanya na Yehova.+ Lakini ikiwa nina hatia,+ niue wewe mwenyewe. Kwa nini unitie mikononi mwa baba yako?”

  • 1 Samweli 20:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Yonathani akamwambia Daudi: “Nenda kwa amani, kwa maana sote wawili tumeapa+ kwa jina la Yehova tukisema, ‘Yehova na awe kati yangu na wewe na kati ya uzao wangu* na uzao wako* milele.’”+

      Kisha Daudi akainuka na kuondoka, naye Yonathani akarudi jijini.

  • 1 Samweli 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha wote wawili wakafanya agano+ mbele za Yehova, na Daudi akaendelea kukaa Horeshi, naye Yonathani akaenda nyumbani kwake.

  • 2 Samweli 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha Daudi akauliza: “Je, kuna yeyote aliyebaki katika nyumba ya Sauli ninayeweza kumtendea kwa upendo mshikamanifu kwa ajili ya Yonathani?”+

  • 2 Samweli 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, mfalme akamhurumia Mefiboshethi,+ mwana wa Yonathani mwana wa Sauli, kwa sababu ya kiapo ambacho Daudi na Yonathani mwana wa Sauli walikuwa wameapiana mbele za Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki