Mambo ya Walawi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Usifanye ngono na mke wa jirani yako* na hivyo kujichafua.+ Mambo ya Walawi 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Ifuatayo ni sheria kuhusu mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine: Mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake lazima auawe; mwanamume huyo na mwanamke aliyefanya naye uzinzi lazima wauawe.+ Methali 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mtu yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke hana busara;*Yule anayefanya hivyo anajiangamiza mwenyewe.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+
10 “‘Ifuatayo ni sheria kuhusu mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine: Mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake lazima auawe; mwanamume huyo na mwanamke aliyefanya naye uzinzi lazima wauawe.+
32 Mtu yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke hana busara;*Yule anayefanya hivyo anajiangamiza mwenyewe.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+