Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 2:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana nyumba yake huzama katika kifo,

      Na vijia vyake* huongoza kwa wale waliokufa ambao hawana uwezo.+

      19 Hakuna yeyote anayelala naye* atakayerudi,

      Wala hawatarudi kwenye vijia vya uzima.+

  • Methali 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi mwanangu, kwa nini usisimuliwe na mwanamke aliyepotoka*

      Au kukikumbatia kifua cha mwanamke mwasherati?*+

  • Methali 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Atakufa kwa sababu ya utovu wa nidhamu

      Na kupotea njia kwa sababu ya upumbavu wake uliopita kiasi.

  • Malaki 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nitawakaribia ili niwahukumu, nami nitakuwa shahidi asiyesita* dhidi ya walozi,+ dhidi ya wazinzi, dhidi ya watu wanaotoa viapo vya uwongo,+ dhidi ya wale wanaomlaghai kibarua,+ mjane, na yatima,*+ na dhidi ya wale wanaokataa kumsaidia* mgeni.+ Watu hao hawaniogopi,” asema Yehova wa majeshi.

  • 1 Wakorintho 6:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Au je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi Ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe.* Waasherati,*+ waabudu-sanamu,+ wazinzi,+ wanaume wanaofanya ngono na wanaume,*+ 10 wezi, watu wenye pupa,+ walevi,+ watukanaji,* na wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mungu.+

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki