Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+ Yakobo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+
31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+
4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+