Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana midomo ya mwanamke aliyepotoka* inadondoka kama sega la asali,+

      Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta.+

  • Methali 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Miguu yake hushuka kwenye kifo.

      Hatua zake huongoza moja kwa moja Kaburini.*

  • Methali 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi mwanangu, kwa nini usisimuliwe na mwanamke aliyepotoka*

      Au kukikumbatia kifua cha mwanamke mwasherati?*+

  • Methali 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Atakufa kwa sababu ya utovu wa nidhamu

      Na kupotea njia kwa sababu ya upumbavu wake uliopita kiasi.

  • Methali 9:16-18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Yeyote ambaye ni mjinga, aje hapa.”

      Huwaambia wale wasio na busara:*+

      17 “Maji yaliyoibwa ni matamu,

      Na chakula kinacholiwa sirini kinapendeza.”+

      18 Lakini hawajui kwamba wale waliokufa ambao hawana uwezo wako hapo,

      Na kwamba wageni wake wamo katika vina vya Kaburi.*+

  • Waefeso 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana mnajua hili, nanyi mnalitambua wenyewe, kwamba hakuna mwasherati*+ au mtu asiye safi au mtu mwenye pupa,+ maana yake mtu anayeabudu sanamu, aliye na urithi wowote katika Ufalme wa Kristo na wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki