Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 2:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana nyumba yake huzama katika kifo,

      Na vijia vyake* huongoza kwa wale waliokufa ambao hawana uwezo.+

      19 Hakuna yeyote anayelala naye* atakayerudi,

      Wala hawatarudi kwenye vijia vya uzima.+

  • Methali 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mpaka mshale unapochoma ini lake;

      Kama ndege anayekimbia kuingia mtegoni, hajui kwamba hilo litamgharimu uhai wake.*+

  • Methali 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana amewaangamiza wengi,+

      Na wale aliowaua ni wengi sana.+

  • Methali 23:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana kahaba ni shimo refu,

      Na mwanamke mwasherati* ni kisima chembamba.+

      28 Hunyemelea kama mnyang’anyi;+

      Huongeza idadi ya wanaume wasio waaminifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki