8 Kaeni mbali naye;
Msiukaribie mlango wa nyumba yake,+
9 Ili msiwape wengine heshima yenu+
Wala kuvuna miaka ya ukatili;+
10 Ili wageni wasimalize mali zenu+
Na vitu mlivyopata kwa jasho viende katika nyumba ya mgeni.
11 La sivyo, mtalia kwa uchungu mwishoni mwa maisha yenu
Nyama na mwili wenu vitakapodhoofika+