Mambo ya Walawi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie Waisraeli, ‘Mwanamke akipata mimba na kuzaa mtoto wa kiume, mwanamke huyo hatakuwa safi kwa siku saba, atakuwa kama anavyokuwa katika siku zake za hedhi.+ Mambo ya Walawi 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Ikiwa mwanamke anatokwa na damu ya hedhi, hatakuwa safi kwa siku saba.+ Mtu yeyote anayemgusa hatakuwa safi mpaka jioni.+ Mambo ya Walawi 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Usimkaribie mwanamke wakati wa hedhi anapokuwa si safi ili kufanya naye ngono.+
2 “Waambie Waisraeli, ‘Mwanamke akipata mimba na kuzaa mtoto wa kiume, mwanamke huyo hatakuwa safi kwa siku saba, atakuwa kama anavyokuwa katika siku zake za hedhi.+
19 “‘Ikiwa mwanamke anatokwa na damu ya hedhi, hatakuwa safi kwa siku saba.+ Mtu yeyote anayemgusa hatakuwa safi mpaka jioni.+